News and Events Change View → Listing

MHE. BALOZI KIBUTA AKUTANA NA BALOZI WA KENYA URUSI KWA MAZUNGUMZO

Mhe. Balozi Fredrick I. Kibuta, Balozi wa Tanzania nchini Russia amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Balozi Ben H.O Ogutu Balozi wa Jamhuri ya Kenya nchini Russia na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa…

Read More

Mhe. Balozi Kibuta awasilisha Salaam za Pole

Mhe. Fredrick Ibrahim Kibuta, Balozi wa Tanzania nchini Russia ameungana na waombalezaji mbalimbali katika kusaini kitabu cha maombolezo cha aliyekuwa Raisi wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Zambia, Mhe. Raisi…

Read More

MHE KIBUTA AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA MABALOZI WA SADC NCHINI RUSSIA KWA MAZUNGUMZO

Mhe. Balozi Fredrick I. Kibuta amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Prof. Dkt. Jose’ M. Katupha, Balozi wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa SADC nchini Russia.  Mazungumzo hayo…

Read More

BALOZI FREDRICK IBRAHIM KIBUTA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO, NCHINI RUSSIA

Balozi wa Tanzania nchini Russia, Mhe. Fredrick Ibrahim Kibuta amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Shirikisho la Urusi anayeshughulikia masuala ya Bara la Afrika, Mhe. Bogdanov…

Read More

Mheshimiwa Balozi Kibuta awapokea Wanafunzi 11 wa Tanzania kutoka Ukraine

Mhe Balozi Fredrick Ibrahim Kibuta, Balozi wa Tanzania katika Shirikisho la Urusi akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi 11 kutoka Chuo Kikuu Sumy Ukraine baada ya kuwapokea kutoka Ukraine. Takribani…

Read More

Mhe. Balozi Frederick Ibrahim Kibuta, Balozi wa Tanzania katika Shirikisho la Urusi

Mhe. Balozi Frederick Ibrahim Kibuta, Balozi wa Tanzania katika Shirikisho la Urusi amekutana kwa mazungumzo na ujumbe wa Chama cha Kiswahili Moscow (CHAKIMO) leo tarehe 04 Machi 2022. katika Ofisi za Ubalozi…

Read More

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU WA TANZANIA BARA

Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Shirikisho la Urusi, Diaspora wamepata elimu ya uzalendo na namna ambavyo wanaweza kuchangia kuongeza fursa mbalimbali kutoka katika  Shirikisho la…

Read More

MHE. WAZIRI WA AFYA, Dkt. DOROTHY GWAJIMA AHUDHURIA KONGAMANO LA WANAWAKE NCHINI URUSI

MHE. WAZIRI WA AFYA, Dkt. DOROTHY GWAJIMA  AHUDHURIA KONGAMANO LA WANAWAKE NCHINI URUSI

Read More