News and Resources Change View → Listing

MAHUSIANO KATI YA TANZANIA NA SHIRIKISHO LA URUSI KUIMARIKA KUPITIA SEKTA YA UTALII

Tanzania inatarajiwa kupokea watalii wengi zaidi siku za hivi karibuni kutoka nchini Russia. Tathmini hii imetokana  na mazungumzo yaliyofanyika mnamo tarehe 31 Machi 2022 kati ya Mhe. Balozi Fredrick I.…

Read More

UTAMBULISHO WA MHE BALOZI FREDRICK I. KIBUTA, KWA JUMUIYA YA DIASPORA WA TANZANIA NCHINI RUSSIA

Mhe. Balozi Fredrick I Kibuta, Balozi wa Tanzania nchini Russia amekutana na Wanachama wa Jumuiya ya Diaspora raia wa Tanzania nchini Russia mnamo tarehe 26 Machi 2022 katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania…

Read More

MHE. BALOZI FREDRICK I. KIBUTA AKUTANA NA WAWAKILISHI WA TAASISI YA BUSINESS RUSSIA YA SHIRIKISHO LA URUSI

MHE. BALOZI FREDRICK I. KIBUTA AKUTANA NA WAWAKILISHI WA TAASISI YA BUSINESS RUSSIA YA SHIRIKISHO LA URUSIMnamo tarehe 23 Machi 2022 Mhe. Balozi Fredrick I. Kibuta pamoja na Maafisa wa Ubalozi walikutana na…

Read More

MHE. BALOZI KIBUTA AKUTANA NA BALOZI WA KENYA URUSI KWA MAZUNGUMZO

Mhe. Balozi Fredrick I. Kibuta, Balozi wa Tanzania nchini Russia amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Balozi Ben H.O Ogutu Balozi wa Jamhuri ya Kenya nchini Russia na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa…

Read More

Mhe. Balozi Kibuta awasilisha Salaam za Pole

Mhe. Fredrick Ibrahim Kibuta, Balozi wa Tanzania nchini Russia ameungana na waombalezaji mbalimbali katika kusaini kitabu cha maombolezo cha aliyekuwa Raisi wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Zambia, Mhe. Raisi…

Read More

MHE KIBUTA AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA MABALOZI WA SADC NCHINI RUSSIA KWA MAZUNGUMZO

Mhe. Balozi Fredrick I. Kibuta amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Prof. Dkt. Jose’ M. Katupha, Balozi wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa SADC nchini Russia.  Mazungumzo hayo…

Read More

BALOZI FREDRICK IBRAHIM KIBUTA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO, NCHINI RUSSIA

Balozi wa Tanzania nchini Russia, Mhe. Fredrick Ibrahim Kibuta amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Shirikisho la Urusi anayeshughulikia masuala ya Bara la Afrika, Mhe. Bogdanov…

Read More

Mheshimiwa Balozi Kibuta awapokea Wanafunzi 11 wa Tanzania kutoka Ukraine

Mhe Balozi Fredrick Ibrahim Kibuta, Balozi wa Tanzania katika Shirikisho la Urusi akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi 11 kutoka Chuo Kikuu Sumy Ukraine baada ya kuwapokea kutoka Ukraine. Takribani…

Read More