Mkutano wa Pili wa Tume ya pamoja ya ushirikiano wa Biashara na Uchumi kati ya Tanzania na Urusi Mjini St. Petersburg Urusi Tarehe 12-13 Mei 2025

Tarehe 12 -13 Mei, 2025 Wizara kupitia Ubalozi kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji ilishiriki katika Mkutano wa Pili wa  Tume ya pamoja ya ushirikiano wa Biashara na Uchumi kati ya…

Read More

Ziara ya Mhe.Balozi wa Tanzania katika Jiji la St. Petersburg na Mkoa wa Leningrad, Februari 2025: Kuimarisha Mahusiano ya Tanzania na Urusi.

Mheshimiwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Mhe. Frederick Ibrahim Kibuta, alifanya ziara rasmi kati ya tarehe 24-28 Februari 2025 katika Jiji la St. Petersburg na Mkoa wa Leningrad kwa lengo la kuimarisha…

Read More

Maadhimisho ya Miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar pamoja na kuenzi siku ya Kiswahili Duniani Tarehe 26 Aprili 2025

Ubalozi wa Tanzania Moscow waadhimisha Miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika Ukumbi wa GLAV UPDK CULTURE CENTER, Moscow Urusi ambayo yalienda sambamba na kuienzi lugha ya Kiswahili.  Mgeni…

Read More

Ubalozi wa Tanzania Moscow uliadhimisha siku ya lugha ya kiswahili duniani tarehe 7 Julai 2022

Ubalozi wa Tanzania Moscow uliadhimisha siku ya lugha ya kiswahili duniani tarehe 7 Julai 2022. Maadhimisho hayo yalihudhuriwa na Waheshimiwa Mabalozi wa EAC, Chama cha Kiswahili Moscow (CHAKIMO), Diaspora na…

Read More